| ST DOMINIC VTC ni chuo pekee kanda ya ziwa kinachotoa kozi mbali mbali zenye fursa kubwa ya ajira nchini hata nje ya nchi, pia chuo kimesajiliwa na veta kwa namba REG: VETA/MZ/RC/110/VOL/111/161. Chuo kinatoa kozi zifatazo kwa ufadhili wa 50%. -Umeme wa majumbani na viwandani, hotel management, Computers kozi, Udereva, Utalii NK. tupo mwanza Tanzania. kwa Maelezo zaidi piga +255675564301 |